Personal Testimony
April 17th, 2008Nashukuru Mungu Kwa Kunipatia wakati huu ili niweze Kushuhundia yale a mbayo amenifauyia maishani Mwangu.Kwa Kweli Kuna raha unapomu kubari yesu Katika Maisha yako, Kwani anatukuwa akikuelekeza wakati wote. Katika wakati wa huzuni au furaha. Hivyo basi
Mungu anaendoelea kunibariki siku baada ya siku na nina hakika kuwa ile kasi ameanza atamaliza vile, vile kwa wewe baili tu umukaribishe maishani mwako.
Nafura hi aendelea kumutumikia mungu hapa
Mungu awabariki Nyote.
      Â



